Home Makala Mechi 16 Kuzisaka Pointi 3 Muhimu Leo

Mechi 16 Kuzisaka Pointi 3 Muhimu Leo

by Sports Leo
0 comments

Leo ligi kuu Tanzania bara itaendelea kuchanja mbunga kwa timu 16 kuwa uwanjani kuzisaka pointi tatu muhimu katika viwanja tofauti.

Ratiba ya mechi zitakazocheza saa 10:00 jioni ni ;Singida v Polisi Tanzania, Namfua.Kagera Sugar v Prisons, Kaitaba.Ruvu v Mbao, Mabatini.Biashara v Mbeya City, Karume.Mtibwa v Ndanda, Gairo na JKT Tanzania v Azam katika uwanja wa Jamhuri.

Yanga Sc v Alliance ni mechi itakayopigwa saa 1:00 usiku katika uwanja wa Taifa jijini Dar-es -salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited