Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania limefanya mabadiliko ya viingilio katika mchezo wa Kariakoo Derby (Yanga sc vs Simba sc) ambapo katika viingilio vipya vinasomeka kama ifuatavyo.
Jukwaa la VVIP litakuwa na mualiko maalumu, kwahiyo kwa atakayehitaji kukaa Jukwaa hilo awasiliane na TFF\
Viingilio vingine ni:
VIP A – Tsh 30,000/-
VIP B na C – Tsh 20,000 badala ya Tsh 15,000 iliyotangazwa hapo awali
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Viti vya Orange itakuwa shilingi 10,000/- na Mzunguko itakuwa ni shilingi 7,000/-
Mchezo huo utapigwa tarehe 8 Machi (Jumapili) katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, muda ni saa 11 jioni ambapo Yanga watakua wenyeji.