Home Makala Corona Yamshika Kiungo Wa Zamani Wa Manchester

Corona Yamshika Kiungo Wa Zamani Wa Manchester

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa zamani wa Klabu ya Manchester United,Marouane Fellaini ambae kwa sasa anakipiga ndani ya Klabu ya Shandong Luneng ya China amegundulika kuwa na virusi vya Corona.

Nyota huyo mwenye miaka 32 anakuwa mchezaji wa kwanza ambaye anashiriki ligi kuu China kugundulika kuwa mwenye virusi vya Corona siku ya Ijumaa katika hospitali iliyopo mjini Jinan na mpaka anagundulika hakuonyesha dalili zozote kwamba hayupo salama.

Fellain amesema anawashukuru mashabiki kwa kuwa naye bega Kwa bega naye pia anaamini atarejea kwenye shughuli zake kama kawaida kutokana na huduma anazopata kwa madaktari wa Jinan.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited