Home Makala Manuel Neuer Kuwindwa Na Chelsea

Manuel Neuer Kuwindwa Na Chelsea

by Sports Leo
0 comments

Mlinda mlango wa Bayern Munich,Manuel Neuer ameingizwa kwenye anga za klabu ya Chelsea inayowinda saini yake ambapo Frank Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea anahitaji kupata mlinda mlango mpya ndani ya kikosi hicho hali  inayotegemea kumuuza  kipa wao Kepa Arrizabalaga.

Mlinda mlango huyo machachari langoni katika kuokoa kikosi cha Chelsea hakuwa chaguo la Lampard kwenye mechi nne zilizopita za Februari ndani ya Ligi Kuu England kwa kusemekana kiwango chake kimeshuka .

 

Neuer mkataba wakeunategemea kumeguka mwaka 2021 ndani ya Bayern Munich ila unampa nafasi ya kufanya mazungumzo na klabu nyingine iwapo inataka kumpa dili jipya.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited