Uongozi wa klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti Dk.Mshindo Msolla,umeandaa jarida maalumu ambalo litakuwa linahusu mambo mbalimbali ya klabu .
Jarida hilo lilizinduliwa Aprili 30 lenye kurasa 48 linalouzwa kwa bei ya shilingi 5000 nchini kote kupitia matawi mbalimbali ya Yanga Sc.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.