Home Makala Soulymane Wa Montpellier Astaafu Soka

Soulymane Wa Montpellier Astaafu Soka

by Sports Leo
0 comments

Veterani wa Montpellier na mshambuliaji wa zamani wa Senegal ,Souleymane Camara mwenye umri wa miaka 37 amebainishwa na Rais wa klabu ya Montpellier, bwana Laurent Nicollin kuwa mwanasoka huyo kastaafu soka baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa misimu 13.

Tangu ajiunge na Montpellier Souleymane mwaka 2008 kwa mkopo wa Jumla kutoka Nice, amefanikiwa kucheza mechi 335 na kuifungia mabao 58 klabu hiyo na hata kushinda taji la Ligue 1 msimu wa 2012 .

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited