Home Makala Borussia Park Waweka Mashabiki Bango

Borussia Park Waweka Mashabiki Bango

by Sports Leo
0 comments

Katika dimba la Borussia Park nyumbani kwa B.Monchenglad mechi yao kati ya Leverkusen inashuhudiwa na mshabiki bango 13,000 ambayo ni mabox yaliyochongwa kuwakilisha mashabaki kwenye viti ili kuisapoti klabu.

Hii ni kutokana na mashabiki kutopewa kibali maalum cha kuwawezesha kuhudhulia mechi hizo kutokana bado suala la afya linazingatiwa dhidi ya virusi vya Corona vilivyosababisha hata awali ligi zote kusimamishwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited