Home Soka Kimich Awaliza Dortmund

Kimich Awaliza Dortmund

by Sports Leo
0 comments

Bao pekee lililofungwa na kinda Joshua Kimich dakika ya 43 limeihakikishia Bayern Munich ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Borrusia Dortmund katika mchezo wa ligi kuu ya ujerumani(Bundesliga).

Bayern wanaendelea kusalia kileleni kwa tofauti ya points 7 wakiwa na points 64 huku Dortmund wakisalia nafasi ya pili na alama zao 57 licha ya kupata ushindi katika mchezo wa awali dhidi ya Schalke 04.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited