Home Soka Kocha Yanga Awasili

Kocha Yanga Awasili

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha mkuu wa Yanga LUC EYMAEL tayari ameshawasili nchini Tanzania kuja kuendelea na majukumu yake katika klabu hiyo ambapo kesho ataelekea Shinyanga kuungana na kikosi chake cha Young Africans tayari kwa mapambano ya kumaliza ligi kuu.

Kocha huyo ataungana na timu hiyo huku kukiwa na mpango mkakati wa kuhakikisha Yanga inachukua kombe la FA na inamaliza nafasi ya pili katika ligi kuu nchini.

Kurejea kwa kocha huyo kumemaliza sintofahamu ya muda mrefu iliyojitokeza hapo awali kuhusu kuwasili kwa kocha huyo maarufu nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited