Uongozi wa uwanja wa taifa umesema kwenye mchezo wa nusu fainali FA cup Simba sc dhidi ya Yanga July 12, 2020 utachezwa ukiwa na Mashabiki elfu (30) badala ya elfu sitini (60)
Uongozi umeeleza hatua hiyo itachukuliwa ikiwa ni tahadhali na kufuata masharti yaliyotolewa na selikali kuhusu kujikinga na virusi vya corona (COVID-19).
Mechi hiyo inatarajiwa kuwa na mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka nchini ambako kwa mwaka huu kuongezeka kwa ushindani baina ya timu hizo kunatajwa kuwa chanzo cha mashabiki wa timu hizo kujaa uwanjani.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.