Home Soka U/Taifa Wabadilishwa Jina

U/Taifa Wabadilishwa Jina

by Sports Leo
0 comments

Rais John Pombe Magufuli ameubadilisha jina uwanja wa Taifa nan kuuita uwanja wa Benjamini Mkapa ikiwa ni moja ya kumuenzi kiongozi huyo aliyefariki Dunia siku ya Alhamis Wiki iliyopita.

Rais Magufuri amesema hayo wakati akihutubia mamia ya waombolezaji waliofika uwanjani hapo kumuaga Rais huyo Mstaafu ambaye anatarajiwa kuzikwa kesho Jumatano katika kijiji cha Lupaso wilayani Masasi mkoani Mtwara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited