Home Soka Fei Toto,Chama Watwaa Tuzo SportsPesa

Fei Toto,Chama Watwaa Tuzo SportsPesa

by Sports Leo
0 comments

Feisal Salumu fei Toto na Cletousn Chama wamechaguliwa kuwa wachezaji bora wa mwaka 2019/2020 wa klabu ya Yanga na Simba sc kutoka kwa kampuni ya Sportspesa kutokana na kura za mashabiki wa klabu hiyo.

Kampuni hiyo ambayo ni wadhamini wa klabu hizo za Simba sc na Yanga sc wana utaratibu wa kutoa zawadi kila mwisho wa msimu kutokana na kura za mashabiki ambazo huhusabiwa na mshindi kutangazwa hadharani.

Kwa tuzo hiyo mastaa hao wamejinyakulia pesa taslimu kiasi cha shilingi Milioni moja za Kitanzania.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited