Home Makala Luis Mchezaji Bora Fainali FA

Luis Mchezaji Bora Fainali FA

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo wa Simba Sc, Luis Miquissone leo Agosti 2,2020 amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam.

Luis amehusika kwenye mabao yote mawili ya Simba akifunga bao la kwanza na kutoa pasi ya bao la pili kwa John Bocco katika mchezo wa leo dhidi ya Namungo Fc ambao wamechakazwa uwanjani kwa mabao 2-1 na kikosi hicho cha msimbazi.

Taji hili linakuwa la pili kwa Luis akiwa ndani ya  Simba baada ya kuanza kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na leo kupokea taji la Shirikisho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited