Home Soka Fei Toto Ajifunga Yanga sc

Fei Toto Ajifunga Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Feisal Salum Fei toto amesaini mkataba mpya wa minne kuendelea kukipiga katika klabu ya Yanga sc ambapo atasalia klabuni hapo mpaka mwaka 2024.

Kiungo huyo kipenzi cha mashabiki wa klabu hiyo amesaini mkataba huo leo na kuzima tetesi za kutakiwa na klabu ya Simba sc ambazo zilikua zimezagaa.

Feisal amekua mmoja ya wachezaji tegemeo klabuni hapo huku pia akiwa na nidhamu ya hali ya juu ambayo imewafanya miamba hao kulazimika kumpa mkataba staa huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited