Home Makala Diamond Atua Mkapa Stadium Na Chopa

Diamond Atua Mkapa Stadium Na Chopa

by Sports Leo
0 comments

Msanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa,Nasib Abdul alimaarufu kama Diamond Platnum ametua Uwanja wa Mkapa siku ya Simba Day na Helikopta na kuwateka mashabiki wote wa Simba kwa kutumbuiza.

Ni miaka 11 sasa tangu ianzishwe Simba Day chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo,Hassan Dalali.

Diamond Platnum ni kipenzi cha watanzania wengi nchini Tanzania na nje hivyo klabu hiyo imeamua kumualika msanii huyo kutumbuiza katika siku yao na kuwaburudisha mashabiki ambao wamefika Simba Day kabla ya kushuhudia mechi kali ya timu yao dhidi ya Vital’O’.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited