KMC Fc imekamilisha usajili wa golikipa kutoka Mbao Fc ,Raheem Sheikh kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Uongozi huo umeamua kumsajili kipa huyo kwa imani kubwa kuwa atakuwa msaada mkubwa kwa vijana wao wa kinondoni kwa msimu wa 2020/2021.
KMC imemaliza msimu wa 2019/2020 ikiwa nafasi ya 13 katika msimamo wa ligi kuu na pointi 46 huku ikiwa imecheza michezo 38,ikitoa sare 7 kupoteza mechi 18 na kushinda michezo 13.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.