Home Makala KMC Wadaka Kipa Mbao Fc

KMC Wadaka Kipa Mbao Fc

by Dennis Msotwa
0 comments

KMC Fc imekamilisha usajili wa golikipa kutoka Mbao Fc ,Raheem Sheikh kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Uongozi huo umeamua kumsajili kipa huyo kwa imani kubwa kuwa atakuwa msaada mkubwa kwa vijana wao wa kinondoni kwa msimu wa 2020/2021.

KMC imemaliza msimu wa 2019/2020 ikiwa nafasi ya 13 katika msimamo wa ligi kuu na pointi 46 huku ikiwa imecheza michezo 38,ikitoa sare 7 kupoteza mechi 18 na kushinda michezo 13.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited