Home Makala Winga Simba Atua Polisi Tanzania

Winga Simba Atua Polisi Tanzania

by Sports Leo
0 comments

Polisi Tanzania inazidi kukisuka upya kikosi chake tayari kwa msimu ujao wa ligi kuu bara ambapo hivi leo wameidaka saini ya mchezaji wa Simba Sc ,Rashidi Juma kwa kandarasi ya mwaka mmoja.

Juma ametua Polisi Tanzania kwa mkopo baada ya kuona mabosi wake wa Simba Sc wakisaili namba nyingi zenye ushindani na kujikuta yeye akiishia benchi.

Wachezaji wengine waliotambulishwa hadi sasa Polisi Tanzania ni Daruweshi Saliboko wa Lipuli Fc,Kassim Shabani Haruni (Sahare All Stars),Datus Peter(Mbao Fc) na Ramadhani Kapera wa KMC.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited