Home Makala Zlatico Apewa Mikoba Ya Eymael

Zlatico Apewa Mikoba Ya Eymael

by Sports Leo
0 comments

Yanga Sc imemtambulisha kocha mpya,Zlatico Krmpotick kama kocha mkuu wa kikosi hicho akibeba mikoba ya Luc Eymael alifukuzwa kazi kwa kosa la ubaguzi.

Zlatiko anatarajiwa kutua kesho Agosti 29 akiwa amepewa dili la miaka miwili kuinoa klabu ya Yanga baada ya kamati kujadili na kupitia majina ambayo walikuwa nayo na kumuona kuwa anafaa kufundisha klabu yao.
Kocha huyo amewahi kuwa bingwa wa klabu ya Afrika wakati akiifundisha TP Mazembe na Polokwane City.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited