Home Makala Tetesi Za Soka Ulaya

Tetesi Za Soka Ulaya

by Sports Leo
0 comments

Mlinda mlango wa Manchester United ,Chris Smalling anayecheza namba 30 anaonekana kuonesha nia ya  kujiunga na Roma kwa mkataba wa kudumu.

Manchester United inajaribu kumalizia suala la kuinasa saini ya winga wa Borussia Dortmund,Jadon Sancho kwa makubaliano ya mshahara na uhamisho wake kabla ya kumuacha Chris kung’oa nanga.

Bayern Munich imewaalika Manchester United kwenye majadiliano ya kiungo wao wa kati Thiago Alcantara ambaye ni mchezaji namba 29 anayetakiwa kuwekwa sokoni.

banner

Baba wa Lionel Messi amekuwa na mazungumzo marefu na mabosi wa Barcelona kwa takribani siku mbili juu ya uwezekano wa kijana wake kuhama klabu hiyo,huku tetesi zinaeleza kuwa nyota huyo anahitaji kuibukia Manchester United.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited