Home Soka Kocha Stars Ainunua Mbao Fc

Kocha Stars Ainunua Mbao Fc

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa Mkurugenzi wa ufundi wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania “TFF” na kocha wa zamani wa timu za Taifa ya Tanzania(taifastars)_ Ammy Ninje, Yupo katika hatua za mwisho kuinunua Klabu ya daraja la kwanza, @mbaofc ya jijini Mwanza.

Ammy Ninje kwasasa anaishi Uingereza amesema tayari karibu kila kitu kimekamilika na hivi karibuni atakuja hapa nchini kuja kamilisha kusaini nyaraka.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited