Home Makala Bruno Fernandes,Mourinho Wabeba Tuzo

Bruno Fernandes,Mourinho Wabeba Tuzo

by Sports Leo
0 comments

Staa wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes amebeba tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Novemba huku kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Jose Mourinho nae akibeba tuzo hiyo kwa upande wa makocha.

Fenandes amekua na mchango bora sana tangu ajiunge na Manchester United kiasi cha kuwa tegemeo la klabu hiyo Mourinho akirejesha makali ya Tottenham kiasi cha kuwa juu ya msimamo wa Epl.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited