Home Soka Man Utd Mdogo Mdogo

Man Utd Mdogo Mdogo

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Shellfield ugenini katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza.

Makosa ya safu ya ulinzi ya Man Utd katika ya kipa na beki Victor Linderlof yalisababisha David McGoldrick kufunga bao la utangulizi kwa wenyeji dakika ya 5 huku akisawazisha dakika ya 26 na dakika saba baadae Athony Martial alifunga goli la pili kabla ya Rashford tena kuongeza goli la tatu dakika ya 51.

David McGoldrick aliipatia Shellfield goli la pili dakika ya 87 na mechi kumalika kwa Man United kupanda mpaka nafasi ya sita wakiwa na alama 23 huku Shellfield wakibaki mkiani na alama moja pekee.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited