Home Soka Lokosa ‘Out’Simba sc

Lokosa ‘Out’Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Inadaiwa klabu ya Simba sc ipo mbioni kuachana na mchezaji Junior Lokosa kutokana na kuonyesha kiwango duni katika kikosi hicho.

Lokosa licha ya kusajiliwa kwa matumaini kibao ameshindwa kulishawishi benchi la ufundi la klabu hiyo kutokana na kucheza chini ya kiwango huku akiwa na uoga wa kuumia tena baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha.

Mchezaji huyo amecheza mechi moja pekee katika michuano ya Simba sc Super Cup huku ikidaiwa anaenda ama nchini Norway au nchini Afrika ya kusini ambapo amepata ofa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited