Home Soka Straika la Maajabu Kutua Simba sc

Straika la Maajabu Kutua Simba sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba SC 🇹🇿 imeanza kuwania saini ya mshambuliaji wa Bouenguidi Sports, Junior Bayahno-Aubyang raia wa Gabon ili kujiweka fiti kuelekea msimu ujao.
 
Junior mwenye umri wa miaka 24, amefunga mabao 4 katika mechi 6 katika mechi za awali za Caf Champions League.
 
Hata hivyo Simba Sc wanatarajia kupata changamoto kutoka kwa vilabu vya Asec Mimosas, Tp Mazembe na Wydad Casablanca ambavyo navyo vimeonyesha nia ya kumhitaji.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited