Home Soka ”Fedha Ziko Salama” Karia Afunguka

”Fedha Ziko Salama” Karia Afunguka

by Sports Leo
0 comments

Raisi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema kuna taarifa itatolewa, hiyo ndiyo itaeleza kila kitu juu ya mechi ya Simba SC dhidi ya Yanga SC kusogezwa mbele hadi kuahirishwa, lakini kwa sasa hata yeye hajui nini kilitokea.
Karia amesema Kuhusu pesa za kiingilio za mashabiki, amesema ziko salama na hakuna atakayedhulumiwa Karia amesema Pesa haziko TFF ziko Serikalini, kwa kuwa zinakusanywa kwenye mfumo wa Serikali wa N Card, huko ziliko ziko kwenye mikono salama katika mfumo wa Kielektroniki na Kila aliyelipia kiingilio chake hatadhurumiwa kwa kuwa mfumo wa N Card unarekodi.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited