Home Soka Kiungo Ajifunga Azam Fc

Kiungo Ajifunga Azam Fc

by Sports Leo
0 comments

Kiungo mkabaji Bryson Rafael ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga katika klabu yake ya Azam Fc baada ya ule wa awali kuelekea mwishoni.

Kiungo huyo amekuwa na kiwango kizuri msimu huu, akisifika kwa kasi yake ya ukabaji kiasi cha kuzitoa udenda timu za Kariakoo jijini Dar es salaam.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Tanzania, kwa kusaini mkataba huo mpya ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2023.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited