Home Soka Manji Huyoo Yanga sc

Manji Huyoo Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Habari za kuaminika ni kwamba tajiri Yussuph Manji ameanza kurejea katika shughuli za spka taratibu baada ya kulipia kadi yake ya uanachama ya klabu ya Yanga sc ili awe na sifa za kuhudhuria mkutano mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika siku ya Jumapili juni 27.

Tajiri huyo tayari amelipa kadi ya uanachama ya mwaka mzima na atahudhuria mkutano huo kwa mujibu wa watu wa karibu na tajiri huyo.

Klabu ya Yanga sc imepanga kupitisha mabadiliko ya katiba ili kuruhusu kuwa na wawekezaji zaidi ya mmoja huku mashabiki wa klabu hiyo wakitaka mabilionea watatu Manji,Rostam Aziz na Gsm wawekeze.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited