Home Soka SERGIO RAMOS AOMBA KUTIMKIA CHINA

SERGIO RAMOS AOMBA KUTIMKIA CHINA

by Sports Leo
0 comments


SERGIO Ramos ambaye ni nahodha wa kikosi cha Real Madrid amecheza jumla ya michezo 606 akiwa ndani ya kikosi hicho tangu ajiunge kwenye kikosi hicho msimu wa mwaka 2005/06 na sasa ameomba kusepa kikosini hapo.
Ramos amewaeleza viongozi wa kikosi hicho kuwa amepata dili la maana kwenye moja ya timu nchini China hivyo hamna namna ya yeye kubaki kikosini hapo.
Imeelezwa kuwa amefikia uamuzi huo kutokana na kutoelewana na Rais wa klabu hiyo Florentino Perez kutokana na lawama anazotupiwa kwamba anahusika kwenye kuboroga kwa kikosi hicho.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited