Home Makala Amazulu Yamtaka Pablo wa Simba sc

Amazulu Yamtaka Pablo wa Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Amazulu Fc inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika ya Kusini imeonyesha nia ya kumtaka kocha Pablo Franco Martine aliyetemwa na klabu ya Simba sc kutokana na matokeo mabaya.

Amazulu inayoshiriki ligi kuu ya nchini Afrika ya kusini imeonyesha nia ya kumtaka kocha huyo raia wa Hispania ambapo taarifa kupitia mitandao imeonyesha kuwa barua ya ofa ya klabu hiyo kwa kocha huyo ambayo imesambaa katika mitandao ya kijamii.

Hata hivyo uongozi wa klabu hiyo yenye makao makuu nchini Afrika ya kusini umetoa taarifa ya kuwa haina mpango na kocha huyo ”Kwa mashabiki wetu na nchi kwa ujumla tungependa kuwaarifu kuwa barua hii na habari inayomhusu kocha wa Hispania sio ya kweli”ilisema taarifa hiyo kupitia mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited