Home Makala Beki Yanga Asaini Namungo

Beki Yanga Asaini Namungo

by Dennis Msotwa
0 comments

Namungo Fc imekamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa Yanga Sc, Jaffar Mohammed kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Usajili wa beki huyo unaenda kuongeza nguvu  eneo la ulinzi kwa lengo la kuhakikisha wanakuwa imara kuelekea mashindano ambayo Namungo Fc itashiriki kuiwakilisha Afrika kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

Namungo Fc ilipata fursa hiyo baada ya kushika nafasi ya pili kwenye fainali za kombe la shirikisho la Azam (ASFC) ambapo ubingwa ulichukuliwa na Simba Sc.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited