Home Makala Benchi Lamkuta Kassim Khamis AzamFc

Benchi Lamkuta Kassim Khamis AzamFc

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa zamani wa Kagera Sugar,Kassim Khamis aliyechomoa dili la kujiunga na vigogo wa Kariakoo Simba na Yanga anapata tabu sana ndani ya Azam FC baada ya kuwekwa benchi kwa mrefu.

Licha ya makocha wawili kumkuta Kassim  aliyeanza na Etienne Ndayiragije ambaye kwa sasa yupo na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kisha Arstica Cioaba ila hana nafasi kikosi cha kwanza.

Kassim amesema kuwa haelewi sababu ya yeye kukaa benchi na hawezi kuzungumzia suala hilo kwani lipo chini ya uongozi wake japo ni kwa muda hana nafasi kwenye kikosi cha kwanza kama awali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited