Screenshot 20250122 145444 Instagram

Mpole Ajiunga na Kagera Sugar

Nyota wa zamani wa klabu ya Geita Gold na FC Lupopo ya Dr Congo George Aman Mpole amejiunga na klabu ya Kagera Sugar baada ya kuachana na klabu ya Pamba aliyoitumikia kwa nusu msimu pekee. Mpole hakuwa na wakati mzuri kwenye kikosi cha Pamba tangu aliposajiliwa kwenye dirisha kubwa msimu huu kama mchezaji huru baada…

Soma Zaidi
Screenshot 20241016 105123 Instagram

Medo Mbioni Kutua Kagera Sugar

Uongozi wa Klabu ya Kagera Sugar Umefungua mazungumzo na Kocha wa sasa wa klabu ya Mtibwa Sugar raia wa Marekani Mellis Medo ili kujiunga na klabu hiyo kuchukua nafasi ya kocha Paul Nkata. Kwasasa kikosi cha Kagera Sugar kipo chini ya kaimu Kocha Bube na hii ni baada ya kufutwa kazi kwa Aliyekuwa Kocha wao…

Soma Zaidi
425565673 947426540076611 8421656234137799414 n

Kagera Sugar Yaikomalia Yanga Sc

Timu ya Kagera Sugar Fc imefanikiwa kulazimisha sare katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga sc uliofanyika katika uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera ambapo mchezo ulimalizika kwa suluhu 0-0. Yanga sc ilianza mchezo huo kwa kasi ambapo Yanga sc ilikua na mipango mizuri kuanzia nyuma mpaka katikati mwa uwanja lakini ilikosa mipango ndani ya…

Soma Zaidi
aucho1

Aucho Arejea Yanga sc

Kiungo wa klabu ya Yanga sc Khalid Aucho amerejea rasmi kikosini baada ya kukosekana katika michezo mitatu baada ya kufungiwa na bodi ya ligi kuu nchini kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Coastal Union Ibrahim Ajibu mwaka jana Novemba 8 wakati wa mchezo wa ligi kuu baina ya timu hizo uliofanyika katika uwanja wa…

Soma Zaidi
alhamdulilah hasbiyallahu waneema lwaki to me

Mabeki wa Afcon Kuikosa Kagera Sugar

Wakati kikosi cha Yanga sc kikiwa tayari kimewasili mkoani Kagera kuivaa Kagera Sugar Fc mastaa wawili wa timu hiyo wanatarajiwa kuukosa mchezo huo utakaofanyika siku ya kesho Ijumaa kuanzia saa kumi jioni katika uwanja wa Kaitaba mkoani humo. Mastaa hao ni mabeki Ibrahim Hamad na Bakari Mwamnyeto ambao hawajasafiri na kikosi hicho kutokana na kukabiliwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks