Home Makala Bundasliga Kurejea Rasmi May 22

Bundasliga Kurejea Rasmi May 22

by Sports Leo
0 comments

Ligi kuu Ujerumani (Bundasliga)sasa itarejea May, 22 na si May,15 kama ilivyoripotiwa awali sababu ya Chancellor wa Ujerumani ,Angel Merkel ameagiza kuwa soka hilo litarejea ikiwa timu za madaraja yote zikimaliza karantini ya siku 14.

Siku ya leo iliripotiwa kuwa viongozi wa juu wa serikali ya Ujerumani watakaa na kutangaza uamuzi ambao utakuwa salama kwa ligi zote kurejea pasipo kuleta madhara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited