Home Makala Chelsea ,Liverpool Wamuwania Timo Werner

Chelsea ,Liverpool Wamuwania Timo Werner

by Sports Leo
0 comments

Timo Werner  anayetupia ndani ya klabu ya  RB Leipzig yupo kwenye hesabu za Chelsea pamoja na Liverpool ambao wanapambana kuipata saini ya nyota huyo ili kuimarisha vikosi vyao msimu ujao.

Liverpool iliyo chini ya Jurgen Klopp inahaha kutafuta mbadala wa Sadio Mane ambaye inaelezwa kuwa Real Madrid inamuhitaji huku Chelsea iliyi chini ya Frank Lampard pia ikisaka mtupiaji.

Werner amekuwa kwenye ubora wake ndani ya Rb Leipzig akiwa ana mabao 27 katika mechi 37 alizocheza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited