Home Makala Coastal Union Vs Kmc Watoka Suluhu

Coastal Union Vs Kmc Watoka Suluhu

by Sports Leo
0 comments

Mechi ya ligi kuu bara raundi ya sita kati ya Kmc na Coastal Union iliyochezwa leo Octoba 14,uwanja wa Uhuru imewagawanisha pointi mojamoja timu zote mbili baada ya kutoka suluhu.

Kmc wamefikisha jumla ya pointi kumi ambapo wamepanda hadi nafasi ya nne katika michezo 6,wakishinda michezo mitatu nakutoa sare mbili huku wakifungwa mchezo mmoja.

Coastal union wao baada ya mchezo wa leo wamefikisha jumla ya pointi tano na kupanda nafasi ya nne wakiwa wameshinda mchezo mmoja na kutoa sare mbili huku wakifungwa michezo mitatu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited