Home Makala Corona Yamkosesha Ronaldo Kuivaa Sweden

Corona Yamkosesha Ronaldo Kuivaa Sweden

by Dennis Msotwa
0 comments

Benchi la ufundi la Juventus limethibitisha kuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ambaye ni mchezaji pia wa mabingwa hao wa ulaya amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.

Ronaldo kwa sasa yupo chini ya uangalizi maalum wa madaktari kwaajili ya kurudisha afya yake ya awali kwa kuwa ni mchezaji pekee aliyeambukizwa virusi hivyo japo hakuonyesha dalili zozote za Covid 19.

Staa huyo ataukosa mchezo muhimu wa kundi C leo Octoba 14, kati ya Ureno dhidi ya Sweden utakaochezwa katika uwanja wa Avalade, katika mbio za kuwania kufuzu mashindano ya Uefa Nation League.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited