Home Makala Dube Aumia Tena

Dube Aumia Tena

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube, anatarajiwa kuwa nje ya dimba kwa muda wa wiki mbili zijazo baada ya kupata majeraha ya misuli ya nyama za paja za mguu wake wa kushoto.
Dube aliumia dakika ya 25 kwenye mchezo wa VPL dhidi ya Mwadui uliopigwa dimbani Mwadui Complex, Jumamosi Machi 6.
Kwa mujibu wa taarifa za klabu hiyo mshambuliaji huyo raia wa Zimbabwe atapumzika kabisa kwenye wiki yake ya kwanza ya matibabu kabla ya kuanza mazoezi mepesi katika wiki ya pili ya mwisho ya kutibu majeraha hayo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited