Home Makala Dube Wa Azam Ajipa Majukumu Mapya

Dube Wa Azam Ajipa Majukumu Mapya

by Dennis Msotwa
0 comments

Mzimbabwe wa Azam  Fc,Prince Dube ameweka wazi kuwa ishu kubwa kwake siyo kufunga mabao bali kuwatengenezea wenzake nafasi ya kufunga wakiwa uwanjani.

Streika huyo wa mabao amesema kuwa hakuna maana yoyote ile ya kufunga mabao bali anapambana zaidi kukisaidia kikosi chake kifanye vizuri katika ligi kuu bara.

Dube ndiye kinara wa sasa wa ufungaji katika ligi kuu akiwa na mabao sita akifuatiwa na mchezaji wa Simba Sc,Meddie Kagere mwenye mabao manne huku akishikilia kiatu cha dhahabu cha msimu ulioisha wa 2019/2020.

banner

“Ikitokea nikafunga,nitashukuru lakini hata nisipofunga nitamsaidia mwenzangu yeyote wa kikosi changu afunge ili timu yangu ishinde kama ambavyo wenzangu wananisaidia mimi kufunga katika michezo iliyopita”alisema Dube

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited