Home Makala Hatimaye Samatta Amwaga Wino

Hatimaye Samatta Amwaga Wino

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa kitanzania ambaye anacheza ndani ya Taifa Stars na KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta amekamilisha usajili wa kuichezea timu ya England Aston Villa kwa mkataba wa miaka minne na nusu.

Mbwana Samatta anakuwa mtanzania wa kwanza kucheza kwenye ligi kuu England baada ya kukamilisha taratibu zote za usajili na anaipa Tanzania heshima kubwa .

Aston Villa ikiwa nafasi ya 18 na imecheza mechi 23 kocha wake Dean Smith ana kibarua cha kupambana timu yake isishuke daraja kwenye msimu huu wa ligi kuu England.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited