Home Makala Hatuna Mpango Na Ramos-Real Madrid

Hatuna Mpango Na Ramos-Real Madrid

by Dennis Msotwa
0 comments

Real Madrid haina mpango wa kumpa ofa ya mkataba mpya beki wao wa kati ,Sergio Ramos mwenye umri wa miaka 34 ambaye  mkataba wake unaisha mwishoni mwa msimu huu na inaelezwa kuwa anaweza kuibukia kukipiga nchini China.

Ramos alijiunga Real Madrid nwaka 2015 akitokea klabu ya Sevilla amebakiza mabao tisa pekee ili kufikisha mabao 100 kwani kwa sasa amefunga jumla ya mabao 91 ndani ya Madrid.

Licha ya kuwa Kwenye ubora wake msimu huu akiwa na Klabu hiyo kwa kucheza mechi 34 na kutupia mabao saba bado halijawashtua mabosi wa Real Madrid na hivyo kutokuwa hata na mpango wa kumuongezea mkataba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited