Home Makala Hii Ndio Mikoa Teule Kuchezeshea Ligi

Hii Ndio Mikoa Teule Kuchezeshea Ligi

by Sports Leo
0 comments

Mikoa miwili ya Mwanza na Dar-es-salaam ndiyo iliyoteuliwa kutumika kwa ajili ya kumalizia ligi za soka msimu wa 2019/2020.

Ligi kuu ya Vodacom na kombe la shirikisho la Azam Sports itachezwa jijini Dar-es-salaam katika uwanja wa Taifa,Uhuru na uwanja wa Azam Complex.

Huku mkoani Mwanza zitachezwa mechi za ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili katika uwanja wa CCM Kirumba na uwanja wa Nyamagana.

banner

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited