Mikoa miwili ya Mwanza na Dar-es-salaam ndiyo iliyoteuliwa kutumika kwa ajili ya kumalizia ligi za soka msimu wa 2019/2020.
Ligi kuu ya Vodacom na kombe la shirikisho la Azam Sports itachezwa jijini Dar-es-salaam katika uwanja wa Taifa,Uhuru na uwanja wa Azam Complex.
Huku mkoani Mwanza zitachezwa mechi za ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili katika uwanja wa CCM Kirumba na uwanja wa Nyamagana.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.