424611443 18399708082071034 6916195545809616631 n

Simba Sc,Azam Fc Hakuna Mbabe

Klabu za Simba sc na Azam Fc zimeshindwa kuamua nani mbabe baina yao baada ya kukubali sare ya 1-1 katika mchezo wa ligi kuu nchini uliofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ambao maelfu ya mashabiki kutoka kanda ya ziwa walihudhuria. Azam Fc hawana budi kujilaumu wao wenyewe kutokana na kukosa nafasi nyingi katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks