Home Makala Jembe Polisi Asaini Namungo Fc

Jembe Polisi Asaini Namungo Fc

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji aliyekuwa anakipiga ndani ya Polisi Tanzania,Sixtus Sabilo ametambulishwa rasmi leo ndani ya Namungo Fc kwa mkataba wa  mwaka mmoja.

Sabilo amemaliza mkataba wake wa mwaka mmoja ndani ya Polisi Tanzania inayonolewa na Malale Hamsini hivyo ameamua kujiunga Namungo Fc akiwa kama mchezaji huru baada ya kuona mabosi wa Yanga Sc wapo kimya kwenye ahadi yao waliyomuahidi kuwa watamfuata baada ya ligi kumalizika ya msimu wa 2019/2020.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited