Home Makala Kada Atua Azam Fc

Kada Atua Azam Fc

by Sports Leo
0 comments

Azam FC imemalizana na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Tanzania Praisons, Ismail Aziz Kada siku ya leo baada ya kufuzu vipimo vya afya huku akisaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo.

Ndani ya Tanzania Prisons Kada amehusika kwenye jumla ya mabao 10 kati ya 35 yaliyofungwa ndani ya timu hiyo huku akitupia jumla ya mabao matano na kutoa asisti tano za mabao kwa wachezaji wenzake.

Usajili huu unakuwa wa nne kwa Azam FC, baada ya usajili kufunguliwa Agosti Mosi ambao ulianza na Awesu Awesu, Ally Niyonzima na Ayoub Lyanga wakiwa wote wamesaini kandarasi ya miaka miwili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited