Simba SC Yaondoka Dar Yazifuata Dodoma Jiji na Tanzania Prisons: Safari ya Pointi Sita Ligi Kuu Bara-www.sportsleo.co.tz

Simba SC Yaondoka Dar Yazifuata Dodoma Jiji na Tanzania Prisons: Safari ya Pointi Sita Ligi Kuu Bara

Simba SC yaondoka Dar yazifuata Dodoma Jiji na Tanzania Prisons kwa safari ya treni ya mwendo kasi (SGR) kuelekea Dodoma. Fahamu maandalizi, urejeo wa Yakoub Suleiman na ratiba ya mechi mbili muhimu za Ligi Kuu ya NBC. YALIYOMO (TABLE OF CONTENTS) Utangulizi wa Safari ya Simba SC Klabu kongwe na yenye mafanikio makubwa nchini Tanzania,…

Soma Zaidi
431071151 18407572303071034 1368139917747080025 n

Simba Sc Yafungwa na Wajelajela

Klabu ya Simba sc imekubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tanzania Prisons Fc katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ikiwa ni mchezo wa raundi ya 16 wa klabu hiyo. Uamuzi wa Mwalimu Abdelhack Benchika kuwapumzisha Mohamed Hussein,Ayoub Lakred,Che Fondoh Malone ulimtokea puani baada ya Samson Mbangula kufunga mabao mawili katika mchezo…

Soma Zaidi
417498777 18414473278052678 4186175903232593424 n

Tz Prisons Waikomalia Azam Fc

Klabu ya Tanzania Prisons imelazimisha sare dhidi ya Azam Fc katika mchezo wa ligi kuu nchini uliofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya baada ya mchezo kumalizika kwa 1-1. Mchezo huo ulikua wa wazi kwa pande zote mbili kuweza kuibuka na ushindi kutokana na kila timu kujitahidi kuonyesha uwezo wake huku Azam Fc wakitawala mchezo…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 314622419 3349420108634187 8439183562519255479 n 1080

Yao Kouasi Amponza Jeremia Juma

Nyota wa Tanzania Prisons Jeremia Juma amekumbana na adhabu ya kufungiwa michezo mitatu na kupigwa faini ya shilingi milioni moja baada ya kumkanyaga nyota wa Yanga Yao kouassi kwenye mechi ambayo Prisons ilipoteza kwakufungwa magoli 2-1 iliyofanyika siku ya Jumapili Februari 11. Adhabu hiyo imetolewa na bodi ya ligi kuu nchini baada ya kufanya kikao…

Soma Zaidi
427942901 952757006210231 4458234724737044185 n

Yanga Sc Yachukua Alama 3 Mbeya

Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kuchukua alama tatu muhimu mbele ya Tanzania Prisons baada ya kuifunga 2-1 katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa  Sokoine mkoani Mbeya huku mashabiki lukuki wakifurika uwanjani hapo. Iliwachukua Yanga sc dakika nane kupata bao la kwanza likifungwa na Clement Mzize aliyepokea pasi nzuri kutoka upande wa kulia…

Soma Zaidi
BOKO

Simba scc Kileleni NPL

Klabu ya Simba sc sasa ipo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu nchini baada ya kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya jioni ya Oktoba 5 2023. Simba sc ilianza langoni ikiwa na Ally Salim aliyechukua nafasi ya Ayoub Lakred huku…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks