Home Makala Kaze Ajifunga Yanga Miaka Miwili

Kaze Ajifunga Yanga Miaka Miwili

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa Yanga Sc leo Oktoba 16, umemtambulisha rasmi Cedric Kaze,kama kocha mkuu wa klabu hiyo ambaye alitua hapo jana usiku akitokea nchini Canada.

Kaze amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo ambapo atabakia jangwani hadi 2020/2022.

Kocha huyo ambaye ni raia wa Burundi amekuja kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic ambaye alifutwa kazi Octoba 3,kutokana na kutokuwa na mwendo mzuri wa kukiongoza kikosi cha yanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited