Home Makala Kisa Simba sc,Mastaa Al Ahly Wapigwa Biti

Kisa Simba sc,Mastaa Al Ahly Wapigwa Biti

by Sports Leo
0 comments

Kocha Marcel Koller amewataarifu wachezaji wake wa Al Ahly kuwa wamefungiwa kutumia mitandao ya kijamii hadi angalau mwisho wa mchezo wao wa Ligi ya mpya ya African League dhidi ya Simba SC utakaofanyika oktoba 20 upite.

kocha huyo raia wa Uswisi ametaja Sababu ni kwamba anaona  kuna hali ya uzembe miongoni mwa wachezaji kabla ya mechi muhimu Hakuna kuchapisha picha wala video kwenye mitandao ya kijamii hadi pale mchezo huo utakapopita.

Al Ahly imekua na wakati mgumu baada ya kufungwa na Usm Algers katika mchezo wa Super Cup wikiendi iliyopita na hivyo kusababisha uongozi kuchukua hatua madhubuti ili kutuliza hali ya hewa kwa mabingwa hao wa bara la Afrika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited