433545917 18409690777071034 4519118990660517655 n

Kisa Al Ahly,Simba Sc Yajichimbia Zanzibar

Klabu ya Simba Sc imeamua kuweka kambi maalumu ya maandalizi visiwani Zanzibar Kuiwinda Al Ahly katika mchezo ujao wa ligi ya mabingwa barani Afrika  utakaopigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam siku ya Ijumaa Machi 29. Kikosi hicho cha Simba sc tayari kimeondoka jijini Dar es salaam mapema hii leo kikiwa na…

Soma Zaidi
percytau action bpp1200 231027

Al Ahly Wafanya Kufuru kwa Tau

Mazungumza ya kuongeza mkataba mpya baina ya klabu ya Al Ahly na mshambuliaji Percy Tau yamefikia pazuri ambapo staa huyo anatarajiwa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kukipiga klabuni hapo kwa miaka mitatu mingine huku akitarajiwa kuwa mchezaji anayelipwa zaidi barani Afrika. Katika mkataba huo mpya Tau atakua anatia mfukoni Mshahara wa dola milioni 5.13 katika…

Soma Zaidi
images

Afcon Yamponza Gabaski

Klabu ya Al Ahly imesitisha usajili wa golikipa wa klabu ya National Bank ya Misri Mohamed Abou Gabal “Gabaski” siku tatu baada ya kumsajili kwa mkopo kuziba nafasi ya El Shanawy aliyeumia akiitumikia timu ya Taifa ya Misri. Chanzo cha kusitishwa kwa mkataba huo ni kutokana na kutokuelewana kati ya nyota huyo na mshambuliaji wa…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 405222257 890786735778044 4362719966443604468 n 1080

Al Ahly Watua,Wapiga Tizi la Nguvu B/Mkapa

Baada ya kuwasili nchini Kikosi cha Al Ahly Sc kimefanya mazoezi ya mwisho hii leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa tayari kwa kuwakabili Young Africans hapo kesho Jumamosi. Kikosi hicho ambacho kiliwasili alfajiri ya leo kikiwa na kila kitu chake kutoka nchini humo ikiwemo chakula na maji ya kunywa mapema baada ya mkutano na vyombo…

Soma Zaidi
Snapinsta.app 375411225 273019795668467 3929728821247987652 n 1080

Staa Wa Ulaya Arejea Al Ahly

Klabu ya Al-Ahly imethibitisha kuwa Mlinzi wao wa kushoto mwenye magoli 50 katika klabu hiyo Ali Maaloul aliyeukosa mchezo dhidi ya Simbaa sc jijini Dar es salaam amerejea kwenye kikosi hicho Kuelekea mechi ya marudiano ya AFL dhidi ya Simba huko Misri, Pamoja na staa huyo pia klabu hiyo imethibitisha kuwa Emam Ashour nae atakuwa…

Soma Zaidi
394518610 18380198824071034 6649865740448231953 n

Simba sc Yaambulia sare AFL

Klabu ya Simba sc imeambulia sare ya 2-2 katika mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa kombe la African Football league dhidi ya Al Ahly ya Misri katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu wengi wa mashuhuri akiwemo Rais wa Fifa Gian Infantino na Patrice Motsepe Rais…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks