Kocha mkuu wa Simba Sc ,Sven Vandenbroeck hajategemea kama angeliweza kupoteza kwenye mchezo dhidi ya Yanga kwa jinsi kikosi chake kilivyoweza kujiandaa vyema na kufanya maandalizi ya kuweza kunyakua ubingwa huo.
Sven amekabidhiwa kikosi kikiwa na rekodi ya kuifunga Yanga kwa miaka minne lakini Eymael ambae ni kocha mkuu wa Yanga kwa sasa ameivunja rekodi hiyo na kuifunga simba ambayo makocha wengine wameshindwa.
“Bahati mbaya sana kwangu kupoteza mechi ya ndani dhidi ya Yanga kwani ni rekodi ambayo iliwekwa miaka minne nyuma timu yangu kutopoteza”alisema Sven.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Aliongeza kwa kusema ,tumejifunza vitu vingi katika mchezo huu baada ya kupoteza na tutakwenda kuvitumia katika mechi zijazo ili kushinda.