Home Makala Kocha Simba Hakutegemea Kupata Zero

Kocha Simba Hakutegemea Kupata Zero

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Simba Sc ,Sven Vandenbroeck hajategemea kama angeliweza kupoteza kwenye mchezo dhidi ya Yanga kwa jinsi kikosi chake kilivyoweza kujiandaa vyema na kufanya maandalizi ya kuweza kunyakua ubingwa huo.

Sven amekabidhiwa kikosi kikiwa na rekodi ya kuifunga Yanga kwa miaka minne lakini Eymael ambae ni kocha mkuu wa Yanga kwa sasa ameivunja rekodi hiyo na kuifunga simba ambayo makocha wengine wameshindwa.

“Bahati mbaya sana kwangu kupoteza mechi ya ndani dhidi ya Yanga kwani ni rekodi ambayo iliwekwa miaka minne nyuma timu yangu kutopoteza”alisema Sven.

banner

Aliongeza kwa kusema ,tumejifunza vitu vingi katika mchezo huu baada ya kupoteza na tutakwenda kuvitumia katika mechi zijazo ili kushinda.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited