Home Makala Kumenoga Kmc,M-bet Washusha Neema

Kumenoga Kmc,M-bet Washusha Neema

by Sports Leo
0 comments

Timu ya manispaa ya kinondoni (Kmc) imeingia udhamini mnono wenye thamani ya Bilioni moja na kampuni ya kubashiri ya M-bet baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano.

Akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kutia saini makubaliano hayo meya wa manispaa hiyo Benjamini Sitta alisema mkataba huo utakua unaboreshwa kila mara ikiwemo kuongeza bonasi na kusaidia ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo.

Naye afisa masoko wa M-bet amesema wamesukumwa kuidhamini timu hiyo baada ya kuwa na uongozi imara “tumeamua kuidhamini timu hii baada ya kuona  timu inaongozwa kiuweledi huku kukiwa na mipango ya muda mrefu na muda mfupi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited